Siri ya mbaazi na faida zake


Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu.

MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI (kwa wanawake)

Chukua majani ya mbaazi kisha yatwang
Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko

FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI (kwa wanawake)

Kukausha uke

Kuondoa majimaji ukeni

Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai

Kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Husogeza kizazi karibu

Kusafisha kuta za uke

NB : Mbaazi ni mti wenye maajabu makubwa kuanzia Mizizi yake mpaka majani


TIBA KWA WATU WOTE

Dawa hii inaweza kutibu magonjwa yafuatayo

1-Inauwezo mkubwa wa kushusha homa

2-Husaidia kuponesha vidonda.

3-Husaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi kwa wanawake.

4-Husaidia kupunguza uvimbe

5-Huponyesha kifua na kukohoa.

6-Husafisha kibofu/njia ya mkojo.

7- Huongeza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbali mbali


Siri ya mbaazi na faida zake Siri ya mbaazi na faida zake Reviewed by Cadotz media on February 05, 2019 Rating: 5

No comments

Ndugu ahsante kwa kuitembelea Cadotz, Endelea kufurahia huduma zetu pia Tunakusogezea Cadotz uchague unachokitaka katika menyu zetu.
Bofya chini

MIZIKI | MAPENZI | AFYA